mkweli wa mambo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 329
- 178
Wakuu poleni na majukumu ya kuliendeleza hili taifa...naombeni msaada jinsi ya ku unlock usb ports za desktop zilizofungwa. Asanteni
Mkuu mkweli wa mambo, Zimefungwa hardware wise au software wise?Wakuu poleni na majukumu ya kuliendeleza hili taifa...naombeni msaada jinsi ya ku unlock usb ports za desktop zilizofungwa. Asanteni
Mkuu mkweli wa mambo, Zimefungwa hardware wise au software wise?
Mkuu mkweli wa mambo,fuata haya maelekezo HAPA.Daaah mkuu nadhani ni software wise japo sina hakika sana maana maujanja ya haya mambo siyajui vizuri..ila nikichomeka kitu chochote kwenye port ya usb hakifungui naambiwa u have no permission