Nothing4good
Senior Member
- Feb 19, 2011
- 180
- 55
Habari zenu ndugu zangu wa jf. Nina rafiki yangu alimaliza 4m four 2005 akapata D mbili2 kwa kua wazazi wake hawakua na uwezo alienda kufanya kazi za ndani. Baada ya miaka 3 akaamua kurudia mtihani mwaka 2009 akapata C moja na D mbili akarudia tena mtihani mwaka 2010 akapata D tatu Nia yake ilikua aende A level na hatimaye chuo kikuu bahat mbaya matokeo ndo hayo akijumlisha pases zake anapata iv ya 28 anaomba msaada aende chuo gani na kusomea nini ambacho atapata ajira haraka? Kwani anafanya kazi nying sana kwa bosi wake na mshahara wake ni kidogo huku ndugu zake wakimtegemea yeye pia anapenda kujiendeleza lakini sasa alikua anataka apate kwanza kazi ili awe anajitegemea akiwa kwa bosi wake alikua anachoka sana ki2 kilichochangia yeye kufel naomba munisaidie nimuambie afanyeje?