Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,429
Wadau nimerudi tena nategemea naweza kupata jibu lingine zuri kutokana na maelezo ambayo nitayapata kutoka kweu...So ni kwamba baada ya kupata hili tatizo ambalo laptop yangu huwa ina matatizo hayo ya kuzima na kujiwasha baada ya hapo unapata page ya blue na maneno haya hapa chini
stoop: C0000218{Registry File Failure}
The Registry cannot load the hive{file}
\systemroot\system32\confiq\software
or its log or alternate
It is corrupt,absent or not writable.Beginning dump of physical memory
Phyisical dump complete
Sasa nilichofanya nikachungua CD yangu ya window xp nitaiweka then ikaanza kujiinstall baada ya dakika 4 hivi ikaja window ya blue inanitaka ni press R ili ijiinstall lakini nikipress hiyo R naona inagoma kabisa na napata haya maelezo
Setup did not find any harddisk drives installed in your computer
Make sure any harddisk are powered on and properly connected to your computer, and that any disk related hardware configuration is correct.This may involve running a manufacurer supplied diagnostic or setup program.
Setup cannot continue.To quite setup press F3
Sasa pia kwenye hii LAPTOP sina data za muhimu je nifanyeje niweze kusort out hii problem maana kwanza hata hiyo R naona haifanyi kazi yoyote so mpaka sasa sijui nifanye nini...Naombeni msaada wenu please najuwa hapa hamna kinachoshindikana!!
stoop: C0000218{Registry File Failure}
The Registry cannot load the hive{file}
\systemroot\system32\confiq\software
or its log or alternate
It is corrupt,absent or not writable.Beginning dump of physical memory
Phyisical dump complete
Sasa nilichofanya nikachungua CD yangu ya window xp nitaiweka then ikaanza kujiinstall baada ya dakika 4 hivi ikaja window ya blue inanitaka ni press R ili ijiinstall lakini nikipress hiyo R naona inagoma kabisa na napata haya maelezo
Setup did not find any harddisk drives installed in your computer
Make sure any harddisk are powered on and properly connected to your computer, and that any disk related hardware configuration is correct.This may involve running a manufacurer supplied diagnostic or setup program.
Setup cannot continue.To quite setup press F3
Sasa pia kwenye hii LAPTOP sina data za muhimu je nifanyeje niweze kusort out hii problem maana kwanza hata hiyo R naona haifanyi kazi yoyote so mpaka sasa sijui nifanye nini...Naombeni msaada wenu please najuwa hapa hamna kinachoshindikana!!