Msaada unahitajika haraka sana

funzadume

JF-Expert Member
Jan 28, 2010
13,559
21,040
Habarini wana JF

Kuna jamaa yangu (hajaoa) katika kuruka ruka na njia amekutana na demu mmoja mzuri sana kwa sura, ana shepu nzuri ya kumfanya m/ume ageuze shingo akipishana nae ana kiuno cha dondora na zigo la nnya pamoja na hips

Tatizo alilonieleza huyu jamaa yangu ni kuwa yule dada anatoa majimaji yenye harufu kali sana wakati wakiwa kwenye kitendo ambayo anasema uwa inakera na hata huyo dada inamkera sana anadai wamejaribu kuwa wanaoga vizuri kabla ya kitendo lakini wapi hali ni ile ile na kila mara wanapokutana inatokea na wamekwisha chinja kobe mara nyingi tu lakini hali si nzuri hata siku moja

Jamaa anampenda sana shori wake na anategemea baadae aje kuwa mama wa watoto wake ila tatizo ni hilo

Jamaa aliniomba ushauri wafanyeje ndio nikaona niwawekee huku,

NB: Huyo mdada kwa sasa yuko chuo na amekwenda hospitali nyingi vipimo vinasema hana tatizo lolote
 
Ina mana angekua amekamilika kila idara, asingefanikiwa kumpata, kwanza angekua ana-nyodo,,na pengine angekua anamilikiwa na jamaa lenye fedha.

Hapo najaribu ku-great-think in 3D.
 
naomba mnielekeze jinsi ya kuingia jukwaa la wakubwa kuuliza si ujinga

sidhani kama una haja ya kuipeleka kule kwa wakubwa, ila ungeliweka kwa JF Doctor i think ingekuwa poa zaidi funzadume.

kuhusu huyo mdada me ningemshauri aende akaombewe kama ni mkristu lakini maana anasema amekwenda hospital bila mafanikio, otherwise nashauri atafute madaktari ambao ni proffetional kwa magonjwa ya kina mama tu i guess atapata msaada zaidi.
 
sidhani kama una haja ya kuipeleka kule kwa wakubwa, ila ungeliweka kwa JF Doctor i think ingekuwa poa zaidi funzadume.

kuhusu huyo mdada me ningemshauri aende akaombewe kama ni mkristu lakini maana anasema amekwenda hospital bila mafanikio, otherwise nashauri atafute madaktari ambao ni proffetional kwa magonjwa ya kina mama tu i guess atapata msaada zaidi.
mbali na hayo hebu nidokezeni jinsi ya kuingia jukwaa la wakubwa
 
sidhani kama una haja ya kuipeleka kule kwa wakubwa, ila ungeliweka kwa JF Doctor i think ingekuwa poa zaidi funzadume.

kuhusu huyo mdada me ningemshauri aende akaombewe kama ni mkristu lakini maana anasema amekwenda hospital bila mafanikio, otherwise nashauri atafute madaktari ambao ni proffetional kwa magonjwa ya kina mama tu i guess atapata msaada zaidi.

Ni ushauri mzuri zaidi akienda kuwaona madaktari ambao ni proffesional kwa magonjwa ya akina mama watamsaidia sijui kama amaeishajaribu na huko
 
Kwa kuwa wanapendana, nashauri waoanae huku wakiendelea kutafuta tiba. Nasema hivi kwa sababu asiye na hili ana lile!
 
Hali hii hutokana na sababu tofauti ikiwepo matumizi ya dawa fulani au maambukizi fulani. Of coz wanawake wana Characteristic smell kwanye majimaji yanayotoka huko lakini inakuwa sio mbaya. Mwambie aendee kuwaona madaktari, kwani najua huwa kuna dawa tofauti zinazoondoa tatizo hilo...
 
mbali na hayo hebu nidokezeni jinsi ya kuingia jukwaa la wakubwa

Jukwaa la wakubwa ni la wakubwa tu. Ukishakuwa hutahitaji kuelekezwa utajua tu namna ya kuingia. Subiri kwanza ukuwe dogo, usikimbilie mambo ya wakubwa. Tumeelewana eeh
 
Teh, nakushauri mlete kwangu, kuna cream moja huwa natumia kupambana na hali kama hizo zinaponikuta. Chek wit me +255772285787. Lazima tusaidiane bana, but utalipia kamchango na nauli, coz hapa ni Kisiwa Panza, na ni lazima nimwingizie hiyo cream mimi, comprende?:becky:
 
hilo wala sio tatizo.............wenzako wakipata kitu cha ukweli kama hicho wala hawaulizi hasa kwa sifa ulizotaja hapo juuuuu.....mtoto inaonesha yuko bomba mbaya....nakwambiua wenzako wangezama hadi chumvini kama kulivyooooooo................nakushauri ni mwanmke mzuri na hilo sio tatizo la kuhangaikia, kura uroda mtoto wa kiume/mwanaume
 
asikate tamaa aendelee kuwaona doctors mbalimbali wenye proffesional na hizo mambo!
 
Jukwaa la wakubwa ni la wakubwa tu. Ukishakuwa hutahitaji kuelekezwa utajua tu namna ya kuingia. Subiri kwanza ukuwe dogo, usikimbilie mambo ya wakubwa. Tumeelewana eeh
:becky::becky: ingawa umenitusi ila nimejikuta nacheka lol ungejua nilivyo mzee mpaka nina mvi kwenye nywele za siri:becky::becky:
 
hapo kaka unataka tu umuone demu yukoje and if posible upate uroda wa bure,may u r soul be cleaned by the almighty,
dawa yake ni kuosha **** mara kwa mara,na pia awe anakula vitunguu swaumu asubuhi na jioni,it seems body fluids haziko sawa,kitunguu swaumu huwa kinasaidia (nimeskia/kusoma this)pia aangalie aina ya vyakula anavyokula
Teh, nakushauri mlete kwangu, kuna cream moja huwa natumia kupambana na hali kama hizo zinaponikuta. Chek wit me +255772285787. Lazima tusaidiane bana, but utalipia kamchango na nauli, coz hapa ni Kisiwa Panza, na ni lazima nimwingizie hiyo cream mimi, comprende?:becky:
 
Teh, nakushauri mlete kwangu, kuna cream moja huwa natumia kupambana na hali kama hizo zinaponikuta. Chek wit me +255772285787. Lazima tusaidiane bana, but utalipia kamchango na nauli, coz hapa ni Kisiwa Panza, na ni lazima nimwingizie hiyo cream mimi, comprende?:becky:

Ni kweli mtaalamu Pokola lazima ujue hiyo harufu ni mbaya kiasi gani ndio utoe tiba inayofaa!! Teh teh teh
 
hapo kaka unataka tu umuone demu yukoje and if posible upate uroda wa bure,may u r soul be cleaned by the almighty,
dawa yake ni kuosha **** mara kwa mara,na pia awe anakula vitunguu swaumu asubuhi na jioni,it seems body fluids haziko sawa,kitunguu swaumu huwa kinasaidia (nimeskia/kusoma this)pia aangalie aina ya vyakula anavyokula
ushauri mzuri kuna daktari alimshauri kuhusu vyakula na kunywa maji mengi ameshaenda kwa wataalam wa magnjwa ya wanawake pale muhimbili na wamemwambia hana tatizo na wengine walimwambia kuwa akishazaa inaweza kuisha hiyo hali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom