funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Habarini wana JF
Kuna jamaa yangu (hajaoa) katika kuruka ruka na njia amekutana na demu mmoja mzuri sana kwa sura, ana shepu nzuri ya kumfanya m/ume ageuze shingo akipishana nae ana kiuno cha dondora na zigo la nnya pamoja na hips
Tatizo alilonieleza huyu jamaa yangu ni kuwa yule dada anatoa majimaji yenye harufu kali sana wakati wakiwa kwenye kitendo ambayo anasema uwa inakera na hata huyo dada inamkera sana anadai wamejaribu kuwa wanaoga vizuri kabla ya kitendo lakini wapi hali ni ile ile na kila mara wanapokutana inatokea na wamekwisha chinja kobe mara nyingi tu lakini hali si nzuri hata siku moja
Jamaa anampenda sana shori wake na anategemea baadae aje kuwa mama wa watoto wake ila tatizo ni hilo
Jamaa aliniomba ushauri wafanyeje ndio nikaona niwawekee huku,
NB: Huyo mdada kwa sasa yuko chuo na amekwenda hospitali nyingi vipimo vinasema hana tatizo lolote
Kuna jamaa yangu (hajaoa) katika kuruka ruka na njia amekutana na demu mmoja mzuri sana kwa sura, ana shepu nzuri ya kumfanya m/ume ageuze shingo akipishana nae ana kiuno cha dondora na zigo la nnya pamoja na hips
Tatizo alilonieleza huyu jamaa yangu ni kuwa yule dada anatoa majimaji yenye harufu kali sana wakati wakiwa kwenye kitendo ambayo anasema uwa inakera na hata huyo dada inamkera sana anadai wamejaribu kuwa wanaoga vizuri kabla ya kitendo lakini wapi hali ni ile ile na kila mara wanapokutana inatokea na wamekwisha chinja kobe mara nyingi tu lakini hali si nzuri hata siku moja
Jamaa anampenda sana shori wake na anategemea baadae aje kuwa mama wa watoto wake ila tatizo ni hilo
Jamaa aliniomba ushauri wafanyeje ndio nikaona niwawekee huku,
NB: Huyo mdada kwa sasa yuko chuo na amekwenda hospitali nyingi vipimo vinasema hana tatizo lolote