X-PASTER JF-Expert Member Feb 12, 2007 11,610 1,809 Jun 21, 2011 #1 Jamaa kanunua Program, kabla ya ku install imekuja hii kitu, kabaki anabung'aa macho tu hajui nini cha kufanya.
Jamaa kanunua Program, kabla ya ku install imekuja hii kitu, kabaki anabung'aa macho tu hajui nini cha kufanya.
U uporoto01 JF-Expert Member May 23, 2008 4,700 1,415 Jun 21, 2011 #2 Hawa watakuwa majambawazi tu hahaha!
WISDOM SEEDS JF-Expert Member Jun 1, 2011 841 282 Jun 21, 2011 #3 Ni sawa na kufungwa macho kwa kitambaa usione halafu uambiwe kutembea kando kando ya mto wenye mamba
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Dec 21, 2010 2,676 1,911 Jun 22, 2011 #5 mi niliyezoea ku-click OK, OK, OK au NEXT, NEXT, NEXT hapo ningeshapapita fasta.