Msaada: Ulimi unakama fangasi na koo kavu

Feb 5, 2016
12
7
Mimi ni mjamzito wa miezi tisa(9) ,ni mgeni hapa ,tatizo linalonisumbua ni kuhusu ulimi ,yani napata shida umetokea na kama fangasi ,kooni nasikia ukavu.

Mwanzoni kabla sijajiunga nilikuwa nafatilia hili jukwaa na post za mzizi mkavu akawa amesema kuhusu maswala ya vitunguu swaumu ila vimenishinda kula ,alafu pia nlisoma kulingana na hali yangu si vizuri kuvila.

Nimeenda hospitali nikaandikiwa Dawa ila sema zenyewe zikanifanya nitapike hivyo nikaacha yani hazipiti kooni ulaini wake nikama Yale ma gel fish arufu ya mende.

Sasa hapa natumia asali na mdalasini ,haijaniponesha ila atleast zile fangasi na utando zimepungua.

Hivyo nilikuwa naomba ambaye anajua hata Dawa nzuri ya mswaki ambayo inaondoa hizi fangasi na utando na huu ukavu wa koo manake vinanikera.

Nahitaji msaada wenu, sina UKIMWI,pia naomba mnijibu serious hata kama ni mouth wash au hata Dawa ya asili ambayo haitakuwa na madhara kwangu.

Asanteni mungu awabariki na samahanini kwa gazeti.
 
Hongera kwa ujauzito na pole kwa changamoto. Mimba huwa ni changamoto kwa mwili wako pia . Mnuna safari imeshaisha, vumilia na endelea kulamba asali. Ukishajifungua sio ajabu vyote vikapona .

Kuhusu koo, jaribu chai ya tangawizi na asali huwa inasaidia. Kunywa maji ya uvuguvugu pia.
 
nenda hospitali tuu huko ndiko sehemu salama kwako kwa sasa
 
Nenda kituo cha afya kwa uchunguzi zaidi...wenda ikawa inasababishwa na ushikaji wa maiki during foreplay
 
Dada
Mimi ni mjamzito wa miezi tisa(9) ,ni mgeni hapa ,tatizo linalonisumbua ni kuhusu ulimi ,yani napata shida umetokea na kama fangasi ,kooni nasikia ukavu.

Mwanzoni kabla sijajiunga nilikuwa nafatilia hili jukwaa na post za mzizi mkavu akawa amesema kuhusu maswala ya vitunguu swaumu ila vimenishinda kula ,alafu pia nlisoma kulingana na hali yangu si vizuri kuvila.

Nimeenda hospitali nikaandikiwa Dawa ila sema zenyewe zikanifanya nitapike hivyo nikaacha yani hazipiti kooni ulaini wake nikama Yale ma gel fish arufu ya mende.

Sasa hapa natumia asali na mdalasini ,haijaniponesha ila atleast zile fangasi na utando zimepungua.

Hivyo nilikuwa naomba ambaye anajua hata Dawa nzuri ya mswaki ambayo inaondoa hizi fangasi na utando na huu ukavu wa koo manake vinanikera.

Nahitaji msaada wenu, sina UKIMWI,pia naomba mnijibu serious hata kama ni mouth wash au hata Dawa ya asili ambayo haitakuwa na madhara kwangu.

Asanteni mungu awabariki na samahanini kwa gazeti.
Punguza kunyonya koni na kumeza
 
Hongera kwa ujauzito na pole kwa changamoto. Mimba huwa ni changamoto kwa mwili wako pia . Mnuna safari imeshaisha, vumilia na endelea kulamba asali. Ukishajifungua sio ajabu vyote vikapona .

Kuhusu koo, jaribu chai ya tangawizi na asali huwa inasaidia. Kunywa maji ya uvuguvugu pia.
####asante kwa ushauri nimeshajifungua ,nimepata baby boy!!asanteni wote
 
Back
Top Bottom