Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jamani nataka nitume documents original kutoka Tz kwenda Europe.....je ni njia ipi inayoaminika.
Ninavyofahamu DHL inajulikana sana,ila sijui ofisi zao hapa Tanzania especially dar es salaam na Arusha,hata nikiangalia kwenye internet sioni contacts zao.
Naomba msaada wa mawazo kama kuna mwenye uelewa.
Ninavyofahamu DHL inajulikana sana,ila sijui ofisi zao hapa Tanzania especially dar es salaam na Arusha,hata nikiangalia kwenye internet sioni contacts zao.
Naomba msaada wa mawazo kama kuna mwenye uelewa.