Msaada Tutani

Kichakoro

JF-Expert Member
Sep 10, 2008
3,056
5,361
Wajameni

Ninaomba msaada wa number ya simu ya mwanadada Nakaaya Sumary

ama manager wake ama njia yeyote naweza kumfikia kabla ya jumamosi.

Naomba unitumie kwenye PM kama hutopenda iwe hadharani.

kichakoro wa Mjini
 
Wajameni

Ninaomba msaada wa number ya simu ya mwanadada Nakaaya Sumary

ama manager wake ama njia yeyote naweza kumfikia kabla ya jumamosi.

Naomba unitumie kwenye PM kama hutopenda iwe hadharani.

kichakoro wa Mjini
..Unataka kuendeleza Politiki??? Teh! tehhh! tehhhhh!!!!!
 
Kama ni kikazi most Radio stations watakusaidia kumpata kwa haraka huwa wanazo namba za wasanii.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom