Lukwangule
Senior Member
- May 25, 2009
- 157
- 2
Moja ya maeneo ya kupata elimu ni humu ndani ya JF.Na kwa kuwa elimu huombwa mimi nawaomba watu wanaojua masuala ya siasa na hata wanasiasa wenyewe wanieleze baada ya kutiwa saini kwa sheria ya kujikinga na fedha haramu na huku tunaelekea katika uchaguzi hivi ni kipi hasa wanasiasa wa upinzani wanaweza kukifanya kwa wakati huu.Seriously nahitaji kuelimishwa. Kuna vitu vina nitinga.Je:
a) je waungane?
b) Kila mtu abaki na lwake kwa sababu ya tofauti za sera?
c) wawanie Urais kivyao au kwa mikakati?
d) kuna sababu gani ya wao kukumbatiana
Yapo maswali mengi lakini haya yananikera sana. kama kuna mtu anaweza akafungua nati zangu zilizojaa kutu kiasi cha kushindwa kutafakari anaweza kunisaidia.nawashukuru wana JF hata kama kulikuwa na thread ambayo ipo interesting na naweza kuchota hekima humo na imenipita nisaidieni tu kuijua i wapi
nawasilisha hoja nikitanguliza shukurani.
a) je waungane?
b) Kila mtu abaki na lwake kwa sababu ya tofauti za sera?
c) wawanie Urais kivyao au kwa mikakati?
d) kuna sababu gani ya wao kukumbatiana
Yapo maswali mengi lakini haya yananikera sana. kama kuna mtu anaweza akafungua nati zangu zilizojaa kutu kiasi cha kushindwa kutafakari anaweza kunisaidia.nawashukuru wana JF hata kama kulikuwa na thread ambayo ipo interesting na naweza kuchota hekima humo na imenipita nisaidieni tu kuijua i wapi
nawasilisha hoja nikitanguliza shukurani.