WanaJF nattmia simu aina ya Nokia 5130 XpressMusic. Kuna Theme nilikuwa nimei-save katika Memory Card sasa nilivyoitoa simu ikawa na uweupe na haikuzika wala ujumbe wowote haikunipa. Nilivyoiweka tena ndio imekataa Kusoma Memory Card na kila nijaribu kuweka Memory Card zingine bado inakataa Kusoma. Msaada Tutani.