trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Kweli mkuu,shule haiondoi ushirikina wa mtu,ila nashukuru kwa kuniashauri
usiegemee hoja hiyo.. Itakupotosha na kukuharibia maisha ya ndoa. Mradi mnajuana vizuri inatosha. We si ndiyo umetaka kumuoa? Au yeye ''anakuhimizahimiza?'' hapo ndo uwe muangalifu,maana wa namna hiyo anaweza kuwa na wivu wa kupita kiasi..hadi utakerekwa!