donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
habari zenu wakuu. ebwana wakuu kuna katatizo kananisumbua saivi kuhus tumbo. yaan unakuta frequently kama linaunguruma ivi au kama la kwenda haja halaf hata ukienda haja ni soft faeces hata kama nimekula kitu gumu. je hii ni nini na inasababishwa na nini? sometimes nakosa hata ham ya kula coz najua nikila mda so mrefu tumbo linabana la kwenda haja