NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
Mkuu hutamaliza hilo jumba! Kama unapo mahala pa kuishi nakushauri we nunua viwanja kwenye prime areas, fanya shughuli nyingine , after three to four years natangaza kuuza! utapata mara 3 ya thamani uliyouzia!