Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
nimekuwa nikiona matajir wengi hasa mikoa ya nyanda za juu kusini wakisemwa kuwa ni matajiri kutokana na dawa za kikinga.
Hapa mjin Dar es salaam matajiri wengi huitwa ni mafreemason.
Naomba kufahamu tofauti ya haya makundi mawili
Hapa mjin Dar es salaam matajiri wengi huitwa ni mafreemason.
Naomba kufahamu tofauti ya haya makundi mawili