CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Jamani mbona wanatuchanganya. Kuna waliochaguliwa kozi ambayo waliandikiwa not eligible. Sasa wanatoa tena kuwa kama haikuwa eligible inabidi kuapply second round! What a hell!
Jamani mbona wanatuchanganya. Kuna waliochaguliwa kozi ambayo waliandikiwa not eligible. Sasa wanatoa tena kuwa kama haikuwa eligible inabidi kuapply second round! What a hell!
kaka unauhakika juu ya hilo coz nimechaguliwa facult ambayo nat eligible bt mi cut of point ipo yakutosha xaxa hawa jamaa mbona cwaelew
Utahira mwingine wa tcu..ngoja nikae pembeni ni shuhudie tu..
wametoa wapi??? mbona sijaona!
Hapana, nilisoma vibaya, very sorry. Kuwa na amani!!!
sasa hivi huko hapanihusu
Jamani mbona wanatuchanganya. Kuna waliochaguliwa kozi ambayo waliandikiwa not eligible. Sasa wanatoa tena kuwa kama haikuwa eligible inabidi kuapply second round! What a hell!
hiyo kaka inawahusu wale 4097 waliopangiwa vyuo ambavyo hawakuomba, so confrim selection na opt 4 2nd application wao inakuwa active,
sasa ukiomba 2nd round na kwenye status ukakuta eligible jua umekuwa admitted moja kwa moja, kama not eligible unatakiwa uchange code fasta.
dah poa kaka coz ulsha fanya cku yangu ikawa mbaya coz hata mipira cjachek vizur! Bt neva mind cc wote binadam 2nakosea