Msaada TCU, watoa sharti jingine 'If not eligible'

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Jamani mbona wanatuchanganya. Kuna waliochaguliwa kozi ambayo waliandikiwa not eligible. Sasa wanatoa tena kuwa kama haikuwa eligible inabidi kuapply second round! What a hell!
 
Jamani mbona wanatuchanganya. Kuna waliochaguliwa kozi ambayo waliandikiwa not eligible. Sasa wanatoa tena kuwa kama haikuwa eligible inabidi kuapply second round! What a hell!

kaka unauhakika juu ya hilo coz nimechaguliwa facult ambayo nat eligible bt mi cut of point ipo yakutosha xaxa hawa jamaa mbona cwaelew
 
Jamani mbona wanatuchanganya. Kuna waliochaguliwa kozi ambayo waliandikiwa not eligible. Sasa wanatoa tena kuwa kama haikuwa eligible inabidi kuapply second round! What a hell!

hiyo kaka inawahusu wale 4097 waliopangiwa vyuo ambavyo hawakuomba, so confrim selection na opt 4 2nd application wao inakuwa active,
sasa ukiomba 2nd round na kwenye status ukakuta eligible jua umekuwa admitted moja kwa moja, kama not eligible unatakiwa uchange code fasta.
 
Duuu kunawatu bado wanahangaika na TCU??? aisee poleni aana mungu atasaidia
 
hiyo kaka inawahusu wale 4097 waliopangiwa vyuo ambavyo hawakuomba, so confrim selection na opt 4 2nd application wao inakuwa active,
sasa ukiomba 2nd round na kwenye status ukakuta eligible jua umekuwa admitted moja kwa moja, kama not eligible unatakiwa uchange code fasta.

Nimekuelewa, ahasante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom