msaada tafadhari

Bizzly

Member
May 3, 2010
79
21
wana JF kuna jamaa yangu alikuwa anamsomesha mtoto yatima, maendeleo ya yule mtoto hayakuwa yakuridhisha hata kidogo darasani. akatakiwa kurudia kidato cha kwanza au kuhama, akahamishwa na kutafutiwa shule ingine lakini kule pia ndo akafanya vibaya zaidi. kwa kuwa huyo jamaa alikuwa ni mlezi tu akaamua kujitoa kwa maana ya kutomlipia ada na mpaka sasa haendi shule.

Je, kuna sheria yoyote inayomlazimisha mlezi huyo kuendelea kupoteza hela yake kumlipia?

Nini haki ya pande zote?

naomba kuwasilisha kwa msaada wa mawazo
 
wana JF kuna jamaa yangu alikuwa anamsomesha mtoto yatima, maendeleo ya yule mtoto hayakuwa yakuridhisha hata kidogo darasani. akatakiwa kurudia kidato cha kwanza au kuhama, akahamishwa na kutafutiwa shule ingine lakini kule pia ndo akafanya vibaya zaidi. kwa kuwa huyo jamaa alikuwa ni mlezi tu akaamua kujitoa kwa maana ya kutomlipia ada na mpaka sasa haendi shule.

Je, kuna sheria yoyote inayomlazimisha mlezi huyo kuendelea kupoteza hela yake kumlipia?

Nini haki ya pande zote?

naomba kuwasilisha kwa msaada wa mawazo

kama alijitolea kumsaidia kwa hiari yake mwenyewe, alipoona elimu ya sekondary imemshinda mtoto huyo, alitakiwa kufikiria njia nyingine ya kuendeleza maisha ya mtoto huyo ili aje aweze kujitegemea hapo baadae, ampeleke mtoto huyo ufundi ajifunze shughuli za mikono.
 
wana JF kuna jamaa yangu alikuwa anamsomesha mtoto yatima, maendeleo ya yule mtoto hayakuwa yakuridhisha hata kidogo darasani. akatakiwa kurudia kidato cha kwanza au kuhama, akahamishwa na kutafutiwa shule ingine lakini kule pia ndo akafanya vibaya zaidi. kwa kuwa huyo jamaa alikuwa ni mlezi tu akaamua kujitoa kwa maana ya kutomlipia ada na mpaka sasa haendi shule.

Je, kuna sheria yoyote inayomlazimisha mlezi huyo kuendelea kupoteza hela yake kumlipia?

Nini haki ya pande zote?

naomba kuwasilisha kwa msaada wa mawazo
Hata kama kuna sheria au hakuna sio ishu cha muhimu atumie ubinadamu ule ule alioutumia kuanza kumsomesha kwa kumtafutia elimu mbadala. Hasitafute visingizio vya kujitoa katika msaada aliojicommit. Ila nampongeza sana kwa ujasiri wake wa kujitolea kumsomesha huyo mtoto
 
Back
Top Bottom