Ni post yangu ya kwanza na naanza na tatizo!
Nina ndugu yangu ninayemsaidia (dependant) amepata ugonjwa wa kutokwa usaha (well ni maji mazito ya rangi ya njano, yananata kiasi) kwenye masikio.
Mwanzo alikuwa anasikia maumivu makali kwenye sikio la kulia na baadaye likaanza la kushoto.
Tumekwenda hospitali akapewa Amoxyclav, Brufen na Rantec ambazo ametumia kwa siku tano. Sikio la kulia limeacha kudischarge lakini la kushoto bado.
Anasema halina maumivu lakini linatoa majimaji hayo ambayo yana harufu mbaya. Hii ni wiki ya pili sasa.
Nina ndugu yangu ninayemsaidia (dependant) amepata ugonjwa wa kutokwa usaha (well ni maji mazito ya rangi ya njano, yananata kiasi) kwenye masikio.
Mwanzo alikuwa anasikia maumivu makali kwenye sikio la kulia na baadaye likaanza la kushoto.
Tumekwenda hospitali akapewa Amoxyclav, Brufen na Rantec ambazo ametumia kwa siku tano. Sikio la kulia limeacha kudischarge lakini la kushoto bado.
Anasema halina maumivu lakini linatoa majimaji hayo ambayo yana harufu mbaya. Hii ni wiki ya pili sasa.