zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
habar wana JF!
naomba mwenye picha ya Bendera ya Tanganyika aiweke humu, samahani kwa kuwasumbua ila naitaka hiyo bendera ili tarehe 9 december niweze kuipeperusha vyema, kwa wale wanaopenda tanganyika nashauri pia waitafute na kuipeperusha juu ya paa za nyumba yao ikifika tarehe 9 kama ishara ya kukataa aina hii ya muungano. narudia tena, naomba radhi kwa watakao kwazwa na thread yangu.
naomba mwenye picha ya Bendera ya Tanganyika aiweke humu, samahani kwa kuwasumbua ila naitaka hiyo bendera ili tarehe 9 december niweze kuipeperusha vyema, kwa wale wanaopenda tanganyika nashauri pia waitafute na kuipeperusha juu ya paa za nyumba yao ikifika tarehe 9 kama ishara ya kukataa aina hii ya muungano. narudia tena, naomba radhi kwa watakao kwazwa na thread yangu.