Mkuu inaitwa Trackball. Km unaweza ichomoe na uangalie km ina uchafu then safisha..km huwezi mpeleke fundi akurekebishie au anaweza kukushauri ununue trackball nyingine coz zinauzwa. BB zenye trackball huo ndo ugonjwa wake mkubwa that's why jamaa wakaamua kutoa BB zenye sensor.
Mkuu nenda youtube kuna video zinaelekeza vizuri jinsi ya kuifungua na kuisafisha track ball za bb Kama mtundu kidogo utaweza kama huwezi peleka kwa fundi au nunu track ball nyingine Natumia simu siwezi kukupa link