Msaada tafadhali - namna ya kuweka link

Madikizela

JF-Expert Member
Jul 4, 2009
675
439
Ndugu wanajamii

Naomba kueleweshwa namna ya kuweka link kwa mfano utakuta mtu amekuandikia email, halafu anakueleza kuwa bofya HAPA, Ukibofya unapelekwa moja kwa moja kwenye eneo hilo, mashikoro mageni wajameni naomba mnijuze
 
  1. kwanza kabisa fungua huo ukurasa unataka mtu apelekwe. Alafu copy link ya huo ukurasa
  2. pili andika text yako, na uandike kama ulibo andika 'bonyeza HAPA'
  3. tatu, select neno 'HAPA' kisha ubonyeze kitufe cha hyperlink (unaona pale unapo badilisha rangi ya maandishi? a bold capital A? chini yake kuna kitufe cha dunia kimepigwa X neykundu, kulia kwake kuna kitufe cha ishara ya dunia, na kitu kama number nane imelala. ndio kitufe cha hyperlink).
  4. nne: ukibonyeza hapo utana kuna sehemu ya kuweka link, right-click hapo, paste. kama ulicopy vizuri, utapast link adress
  5. tano: gonga enter, the link is there
  6. post.
Appended: The hyperlink button looks like this:
hyperlink-thumb10864164.jpg
 
asante.maana mimi najua link kwa simu tu.juzi nimeshindwa kumuwekea mtu link humu ikanibidi nitoke kwanza nilogin kwa simu ndiyo niweke link na kurudi kwenye computer.
HAPA

Mr .Cool!
Hebu nawe tupe darasa hili ktk simu!

Tafadhali Mr
 
Mr .Cool!
Hebu nawe tupe darasa hili ktk simu!

Tafadhali Mr


poa mkuu.
kuweka link JF kwa simu ni hivi
Unaandika

(url="www.jamiiforums.com")CLICK HERE(/url)

yani ndani ya quotation hizi " " ndiyo unaandika website unayotaka kuiwekea link then pale nilipoandika CLICK HERE ndiyo unaandika maneno ambayo yajitokeze hapa kwenye post. Pia most important step. Kwenye zile bracket za hizi ( ) zibadilishe ziwe square bracket. Yani hivi [ ]. Zipo bracket nne za hvi ( ) so zote zibadilishe ziwe hivi [ ] .Nimeweka bracket za hvi ( ) ili niweze kuelezea mkuu maana ningeweka za hvi
[ ]
ingetokea link yenyewe halafu usingeweza ona mfano wa link kwa simu inawekwaje.
 
poa mkuu ni hivi.
Unaandika

(url="www.jamiiforums.com")HAPA(/url)

yani ndani ya quotation ndiyo unaandika website unayotaka kuiwekea link then pale nilipoandika HAPA ndiyo unaandika maneno ambayo yajitokeze hapa kwenye post. Pia most important step. Kwenye zile bracket za hvi ( ) zibadilishe ziwe square bracket yani ziwe bracket za [ ]. Zipo bracket nne za hvi ( ) so zote zibadilishe ziwe hivi [ ] .Nimeweka bracket za hvi ( ) ili niweze kuelezea mkuu maana ningeweka za hvi
[ ] ingetokea link yenyewe halafu usingeweza ona mfano wa link kwa simu inawekwaje.

Thankx Mr.

Kama vp ntakuPM!
 
  1. kwanza kabisa fungua huo ukurasa unataka mtu apelekwe. Alafu copy link ya huo ukurasa (pale juu palipo andikwa www.[....].com)
  2. pili andika text yako, na uandike kama ulibo andika 'bonyeza HAPA'
  3. tatu, select neno 'HAPA' kisha ubonyeze kitufe cha hyperlink (unaona pale unapo badilisha rangi ya maandishi? a bold capital A? chini yake kuna kitufe cha dunia kimepigwa X neykundu, kulia kwake kuna kitufe cha ishara ya dunia, na kitu kama number nane imelala. ndio kitufe cha hyperlink).
  4. nne: ukibonyeza hapo utana kuna sehemu ya kuweka link, right-click hapo, paste. kama ulicopy vizuri, utapast link adress
  5. tano: gonga enter, the link is there
  6. post.

HII ni Good knowledge shared
 
  1. kwanza kabisa fungua huo ukurasa unataka mtu apelekwe. Alafu copy link ya huo ukurasa
  2. pili andika text yako, na uandike kama ulibo andika 'bonyeza HAPA'
  3. tatu, select neno 'HAPA' kisha ubonyeze kitufe cha hyperlink (unaona pale unapo badilisha rangi ya maandishi? a bold capital A? chini yake kuna kitufe cha dunia kimepigwa X neykundu, kulia kwake kuna kitufe cha ishara ya dunia, na kitu kama number nane imelala. ndio kitufe cha hyperlink).
  4. nne: ukibonyeza hapo utana kuna sehemu ya kuweka link, right-click hapo, paste. kama ulicopy vizuri, utapast link adress
  5. tano: gonga enter, the link is there
  6. post.

mwali unajua.. Utafikri ni mimi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom