Msaada Tafadhali: Modem ya Vodacom E220

BabaDesi

JF-Expert Member
Jun 30, 2007
6,032
3,944
Shalom. Wanajamvi nawaombeni msaada tafadhali. Natumia Modem ya Voda E220. Nina matatizo mawili makubwa kuhusu kwayo. 1. kuna wakati niliacha kuitumia kwa kama miezi miwili hivi na nilipoanza kuitumia siwezi kuangalia kuingiza bundle la intenet wala kuangalia salio. Hata kuangalia tu salio la kawaida nikienda kwenye ile sehemu ya kubonyeza ili kuongeza ama kujua salio inajiiivuta na mwisho inaniambia 'time out'! Sasa hivi ili kuingiza bundle la internet kwenye modem hii inabidi nifanye hivyo kwa kutuma kutoka kwenye namba nyingine ya voda. hapa nafanyaje wajuzi. 2.Eneo la huku Shamba Makabe ninapoishi Vodacom Internet sio mwao kabisa! Kuna wakati nilikuwa nikiamka usiku wa manane kwa matarajio kuwa itakuwa fast angalau lakini mara nyingi imekuwa slow kuliko hata inavyokuwa mchana! Ninaomba msaada wa kuichakachua Modem yangu E220 ili iweze pia 'kula vichwa' Tigo na Airtel maana uwezo wa kununua Modem zao sasa hivi haupo! Natanguliza shukurani.
 
kasome uzi wa huawei unlock kule JF Store iliuweze kupata hizo unlock code zake sawa..
 
Sawa Mkuu kwa hilo tatizo langu la Pili! La kwanza je?
 
hlo la kuwa slow inategemea na tenwork ya sehemu yako coz hapa me voda ndo ipo faster nyingine zote ovyo?
 
kaka nami naomba msaada ninashida ya kufungua huawei e220 naona link zilizowekwa hazi respond tena kama kuna msaada wowote please natanguliza shukurani
 
Back
Top Bottom