NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
siamini kuwa she and he wanaweza kulala more tha 1month bila tendo,,thats cant happen lazima kuna mushkel flani hivi...
Pia yawezekana ni psychological disorders, anaweza akawa anahusisha tendo la ndoa na matukio yasiyo mazuri huko zamani (utotoni?). Madaktari watamsaidia.