mxyo16
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 1,243
- 758
Hahahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah
Muscle clamp... Inatokana na upungufu wa Oxygen mwilini.Kwa sisi wacheza mpira inatutokea sana especially kama siku hiyo nakua nimekimbia sana mazoezini.tiba Mimi huwa nikibanwa na msuli nasugua sehemu husika mpaka inaachia.Kinacho nisumbua Mimi ni misuli ya miguu inanabana haswa ikivika usiku nikiwa kwenye usinginzi nashituka misuli imebana mpaka napiga makelele maumifu yake
Jaribu kwanza mkuu. Tia nia...Nashukuru kwa ushauri mkuu ila mpaka ije iayachie maumivu yake ni makali sana
Kabla ya picha mkuu kwanza anifahamishe tu mduara wa duara ni kiasi gani kama upo ısıjekuwa mstatiliNawewe mtumie picha jamani, mvuto uwe mutual...maana waweza vutiwa wewe tu yeye asivutiwe ukafosi mambo then ulete lawama ooh wanaume wa dar hahahaha...ashakum si matusi
hahahaha akuhmm , Sky Eclat ...anza sasaKabla ya picha mkuu kwanza anifahamishe tu mduara wa duara ni kiasi gani kama upo ısıjekuwa mstatili
Hellow JF Doctors
Naomba msaada wa kitaalam je hii ni sababu gani hadi napata maumivu ya kuwaka moto kwenye nyayo ya mguu wa kushoto ( hiyo sehemu nilizungushia) karibia na kwenye vidole.
Nikiamka asubuhi nikishusha mguu kitandani tu kukanyaga chini napata hizo pain kali sana mguu mmoja tu kisha after 10-20 min inapotea na hii ni kila View attachment 776522 siku sasa for about 2weeks now.
Sina fever wala maumivu mengine yoyote yale. Mwili wangu na viungo vyake uko okay kabisa.
Naomba kujua tafadhali nisaidie naogopa sana
Tumia neuroton zitakusaidia
Mimi huwa sifanyi mazoezi kuna siku nikarujaruka wee nikapata tatizo kama hilo baada ya muda nafikiri kama mwezi hivi likaisha.Sijui wewe lilianzaje
Hiyo ni dalili ya kupata wageni,.. Mgeni yupo njiani andaa bajeti tuHellow JF Doctors
Naomba msaada wa kitaalam je hii ni sababu gani hadi napata maumivu ya kuwaka moto kwenye nyayo ya mguu wa kushoto ( hiyo sehemu nilizungushia) karibia na kwenye vidole.
Nikiamka asubuhi nikishusha mguu kitandani tu kukanyaga chini napata hizo pain kali sana mguu mmoja tu kisha after 10-20 min inapotea na hii ni kila View attachment 776522 siku sasa for about 2weeks now.
Sina fever wala maumivu mengine yoyote yale. Mwili wangu na viungo vyake uko okay kabisa.
Naomba kujua tafadhali nisaidie naogopa sana
Hiyo ni dalili ya kupata wageni,.. Mgeni yupo njiani andaa bajeti tu
Dalili ya matatizo ya figo