NGUGO
Member
- Apr 8, 2012
- 36
- 6
Wana JF salamu,
kwa mara ya kwanza nimegundurika na tatizo la maradhi ya shinikizo la damu, dr aliponipima akasema nina kipimo cha 160/110 ambacho alisema ni kiwango cha hatari. SWALI:-
1. Je! Ni vyakula na vinywaji gani havipaswi kuvitumia ukiwa na maradhi haya?.
2. Ni mtindo gani wa maisha mwenye maradhi haya anapaswa kuishi?
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWENU WANA JF.
kwa mara ya kwanza nimegundurika na tatizo la maradhi ya shinikizo la damu, dr aliponipima akasema nina kipimo cha 160/110 ambacho alisema ni kiwango cha hatari. SWALI:-
1. Je! Ni vyakula na vinywaji gani havipaswi kuvitumia ukiwa na maradhi haya?.
2. Ni mtindo gani wa maisha mwenye maradhi haya anapaswa kuishi?
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWENU WANA JF.