Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,814
Wakuu naomba msaada wa aina na mahali pa kupata Generator ya umeme kwani nina mtoto mdogo ambaye umeme ukikatika anasumbua sana. Naomba kujuzwa aina ambayo ni imara, inayotumia mafuta kidogo na yenye ufanisi kwa ajili ya kuwasha taa na TV. Bajeti yangu ni kama 350,000 +. Natanguliza shukrani za dhati
Nakaa hapa Dar Es Salaam
Nakaa hapa Dar Es Salaam