CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Habari wana jf.
Nina mpango wa kulima mahindi na matango kwa ajiri ya kuyauza kwenye soko la ndani,
Napenda kujua kama kuna anayejua soko limekaaje?I mean ntafanya biashara au itakula kwangu?nimepata shamba maeneo ya Iringa vijijini na nimepanga kuuzia shambani,jee mahindi mabichi na matango naweza kuuzia shambani kwa bei gani?nimepanga kulima hk 10 za mahindi na 10 za matango!
Naombeni msaada wakuu.
Nina mpango wa kulima mahindi na matango kwa ajiri ya kuyauza kwenye soko la ndani,
Napenda kujua kama kuna anayejua soko limekaaje?I mean ntafanya biashara au itakula kwangu?nimepata shamba maeneo ya Iringa vijijini na nimepanga kuuzia shambani,jee mahindi mabichi na matango naweza kuuzia shambani kwa bei gani?nimepanga kulima hk 10 za mahindi na 10 za matango!
Naombeni msaada wakuu.