Moseley
Senior Member
- Jul 10, 2010
- 187
- 94
Jamani naomba msaada wenu:
Ni week moja sasa imepita, ninashindwa kufungua account yangu ya yahoo.. Nasumbuka kweli,maana ni account pekee yenye details za mhimu sana kwangu..
Nifanyaje? Maana password ni ile ile niliyokua naitumia siku zote... Na hakuna mtu niliewahi kumpatia..
Ni week moja sasa imepita, ninashindwa kufungua account yangu ya yahoo.. Nasumbuka kweli,maana ni account pekee yenye details za mhimu sana kwangu..
Nifanyaje? Maana password ni ile ile niliyokua naitumia siku zote... Na hakuna mtu niliewahi kumpatia..