Habari wandugu. Nina cm yangu mode ya iPHONE ya kichina tangu niinunue haijawahi kunisumbua. Jana niliiweka kwenye mfuko wa suruali nikalala nilipoamka ikawa haisense kwenye screen, nimejaribu kuwasha na kuzima bado hairepond. Naomba msaada wandugu sijatumia internet siku zima leo ndo sasa nimechukua cm ya wife naitumia. Please saidia