msaada: simu imezima na imegoma kuwaka..

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
wakuu natumia nokia 2700 classic, muda mfupi uliopita ilistack wakati naandika sms, alafu ikazima...nimejaribu kuiwasha imekataa.
NB: wakati inazima betri ilkuwa full, naomba msaada wenu
 
wakuu natumia nokia 2700 classic, muda mfupi uliopita ilistack wakati naandika sms, alafu ikazima...nimejaribu kuiwasha imekataa.
NB: wakati inazima betri ilkuwa full, naomba msaada wenu

Labda ina omboleza the demise of Kanumba! So sad!
 
Hebu toa betri kwa dakika chache halafu urudishe ujaribu kuwasha kama hujafanya hivyo....
 
Back
Top Bottom