tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
wakuu natumia nokia 2700 classic, muda mfupi uliopita ilistack wakati naandika sms, alafu ikazima...nimejaribu kuiwasha imekataa.
NB: wakati inazima betri ilkuwa full, naomba msaada wenu
NB: wakati inazima betri ilkuwa full, naomba msaada wenu