Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,211
nakama wiki hivi niliku naisi nakama tonsezi, nikaenda pharmacy nikapata dawa, lakini this time nikiwa nameza chakula naisi maumivu chini ya koo maeneo ya kifuani, naogopa kweli, naombeni msaada wenu doctors, leo ni kama siku ya pili,
mungu awazidishie
mungu awazidishie