MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
Kwanza napenda kushukuru kwa msaada mkubwa ambao nimeupata na nazidi kuupata kutoka kwa members wa jukwaa hili hususani Mr elinino ambae nilifuatilia post yake "nimeamua kulima kwa mara ya pili" na kwa kweli ilinipa changamoto. Kama kuna mtu anafahamu mahali ninaweza kupata short course ya kilimo au sources yoyote ( agricultural associations, blogs or any source). Japokuwa sio proffessional yangu lakini kilimo ndio kitu ambacho nikifanya nakua namsukuo zaidi. Kuna member aliwahi kuzungumzia kitu kinaitwa Trailor course inayotolewa SUA lakini kila nikijaribu kuulizia sipati taarifa za kutosha.
Lengo langu ni kufanya kilimo kisayansi maana nilijaribu mara ya kwanza sikufanikiwa nikaretreat nataka mwanzoni mwa mwakani nianze tena nikiwa na maarifa zaidi.
msaada waungwana
Lengo langu ni kufanya kilimo kisayansi maana nilijaribu mara ya kwanza sikufanikiwa nikaretreat nataka mwanzoni mwa mwakani nianze tena nikiwa na maarifa zaidi.
msaada waungwana