Ndugu zangu, hivi ikibainika kua mwanamke anapanga njama za kumuua mumewe na ikathibitishwa kua ni ili arithi mali na ushahidi ukawa ni wa sms ambazo anawasiliana na ndugu zake kutaka kufanikisha azma yao...sheria inasemaje, je ndoa hiyo ikivunjika mwanamke atakua na haki ya kupata gawio la mali?