Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,821
mfanyie vi suprise vidogo vidogo,kulingana na uwezo wako.Au hata muandikie message za mapenzi muekee chini ya mto,mpelekee viji lunch kazini mtume mtu maalum wa kumpelekea,akishakupata hiyo lunch,muulize kama ameipenda kwa lugha ya mapenzi.ukiamka tu asubuhi,neno la kwanza mwaimbie jinsi gani unavyompenda.ikifika week end,umwambie leo nataka kukutoa out,just me and you.na kama una uwezo wa kukodi limouzine,unakodi kwa ajili ya kumtoa out,[bongo yapo]na kama huo uwezo huna haina neno.mnunulie chupi nzuri {zawadi kama hiyo wanawake wengi tunaipenda}mwambie kwa lugha ya mapenzi aivae ili umuone.vilevile ikifika anniversary yenu,isipite hivihivi fanya suprise ndogo yoyote ile,kama uwezo unakuruhusu,siku hiyo safiri nae,kaa nae hoteli nzuri,ukweli ata enjoy sana tu,baada ya kufanya yote hayo,usisahau kutupa matokeo humu j.f,jamani wanaume muwe hivyo,sio lazima haya niliyoyasema lakini wapeni attention za kimahaba wake zenu.
haya macho yangu nadhani yana matatizo mi ndo nimepapenda hapo.......sukari.....tamu kama kisukari eeh
The Following 4 Users Say Thank You to kisukari For This Useful Post: