Msaada sehemu ya kudownload nyimbo

Maranyingi napakua kwa kuanza na
1-opera browser.
2-Kisha naandika YouTube.
3-Ikifunguka, na search nyimbo/ jina la msanii.
4-Then, ikikuja naifanyia editing pale juu.
Kuna maandishi mengi lakini nenda hadi kwenye //m.youtube, kisha toa (m.) m na dot, kisha weka ss, them search.
Baada ya hapo itakuletea kama ni video kisha unaipakua.
Lakini kama unataka uipakue kama nyimbo pekee.
Shuka chini kwenye option na kisha utachagua option ya mp4, kisha unaipakua
Aghrrr sijaelewa ngoja nianze Upya
 
Kuna application inaitwa snaptube sio apps ya android

Hii unaigoogle kwenye browser ya kawaida kisha ikifunguka unaidownlod

Ukishaidownlod then una install

Ukishainstal unaanza kupakua nyimbo kama kawaida. Nyimbo zote za utube
 
hao wote juu watakuchanganya kama unatakakudownload MUSIC AUDIO NENDA HULKSHARE.COM kwenye search unaandika jina la msanii au wimbo kisha download wimbo wako tena kwa speed ya kasi sana
 
Bado hujanieleza kitu,Tubidy is the best kwangu,labda tu kama hujazielewa hizo features mpya ila wako vizuri sana.
 
Habari wapendwa....
Naomba kwa anaejua website isiyo na longo longo ya kudownload nyimbo aina zote atupie hapa.....

NB...
Waptrick kuna nyimbo nazikosa....
Tubidy tangu ibadilike inanishinda..
Nataka audio tu..

Staki zile website uchwara kila mara click here had page zinafika mia huko sion kitu...

Pia sitaki zile nadownload zinanipeleka play store....

Asanteni in advance!!!...
Nenda kweny camera afu piga selfie

Jus kidding
 
Back
Top Bottom