Msaada Samsung Galaxy S5

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Wakuu nataka kununua hii simu jamaa katoka nayo South Africa hivi karibuni nimetoa betry imeandikwa made by Sumsung badala ya kutaja viwanda ya SAMSUNG vya Korea, Vietnam na China. sasa najiuliza inaweza kuwa Clone? Model yake ni SAMSUNG S5 SM-G900H na Android 4.4.2 (Kitkat) naomba mwenye Uelewa wa hii simu tafadhari pia nimeona na ni nyepesi betry yake ni ndefu 2800Amh.
 
Wakuu nataka kununua hii simu jamaa katoka nayo South Africa hivi karibuni nimetoa betry imeandikwa made by Sumsung badala ya kutaja viwanda ya SAMSUNG vya Korea, Vietnam na China. sasa najiuliza inaweza kuwa Clone? Model yake ni SAMSUNG S5 SM-G900H na Android 4.4.2 (Kitkat) naomba mwenye Uelewa wa hii simu tafadhari pia nimeona na ni nyepesi betry yake ni ndefu 2800Amh.
Kwa kifupi SM-G900 model kuna kikampuni ambacho sio samsung uko uko korea kinazitengeneza, ifungue nyuma ya battery ka hakuna neno approved jua ni clone na usilogwe ukaiformat mara kwa mara au kuiflash itakua ndio mwisho wake.
 
Kwa kifupi SM-G900 model kuna kikampuni ambacho sio samsung uko uko korea kinazitengeneza, ifungue nyuma ya battery ka hakuna neno approved jua ni clone na usilogwe ukaiformat mara kwa mara au kuiflash itakua ndio mwisho wake.
Kunana neno approved hapa na 32GB pembeni
 
Wakuu nataka kununua hii simu jamaa katoka nayo South Africa hivi karibuni nimetoa betry imeandikwa made by Sumsung badala ya kutaja viwanda ya SAMSUNG vya Korea, Vietnam na China. sasa najiuliza inaweza kuwa Clone? Model yake ni SAMSUNG S5 SM-G900H na Android 4.4.2 (Kitkat) naomba mwenye Uelewa wa hii simu tafadhari pia nimeona na ni nyepesi betry yake ni ndefu 2800Amh.


tupia apa imei yake tukusaidie kujua uhalisia wake.
 
njia ya uhakika kuangalia simu original ni kudownload cpu-z

download cpu-z store then ifungue halafu itakutajia hardware za ndani za simu. s5 nyingi zina snapdragon 801 chache zipo zenye snapdragon 805 na exynos.

au post screenshot zake hapa uangaliziwe
 
It's difficult to know japo kioo naona ni bora na Uwezo wake wa Camera ni mkubwa
clone yake ninayo, katika kutafuta tofauti ya clone na original, nlikuta kila kitu ni sawa kioo super amoled kitu ambacho uwa sio kawaida, tofauti nikakuta hakuna neno approved na pia ina maandishi machache na yako bolded, na network bands ndio ziko tofauti na original
 
Wakuu nataka kununua hii simu jamaa katoka nayo South Africa hivi karibuni nimetoa betry imeandikwa made by Sumsung badala ya kutaja viwanda ya SAMSUNG vya Korea, Vietnam na China. sasa najiuliza inaweza kuwa Clone? Model yake ni SAMSUNG S5 SM-G900H na Android 4.4.2 (Kitkat) naomba mwenye Uelewa wa hii simu tafadhari pia nimeona na ni nyepesi betry yake ni ndefu 2800Amh.
kama huna uzoefu acha tu kununua subilia s7 ikitoka machi ununue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom