Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Mi ni Mtumishi wa umma...sasa Ps wetu amenidokeza kuwa ameshangaa ameona Muhtasari wa malipo na majina ya wajumbe mimi jina langu pia,ila sasa ameshangaa ameona siyo ile ninayo sain siku zote..alivyotoka boss wangu,akaniletea fail,nimeona sahihi siyo yangu,ila jina ndo langu...msaada ni hatua gani nimchulikie..na je hukumu ya kosa kama ili ni nini?
'Vox populi,Vox dei"
'Vox populi,Vox dei"