wiki tatu zilizopita niligundua kuwepo kwa uhusiano wa kimapenzi kati ya mschana mmoja na mchumba wangu ambae tulikuwa kwenye maandalizi ya harusi yetu mwezi wa 8. niiliumia sanaaaaaaaa. nilimtukana huyo mschana pamoja na wazazi wake na hata kufikia hatua ya kumwambia '' NITAMUUA'' wazazi wa huyo mschana walichukulia kwa uzito hilo swala na kulipeleka police. sasa hv nimeachana na mchumba wangu, hajui nilipo ila wananipigia sm kuniambia nijisalimishe police kwa kutishia kuua. nisaidieni mwenzeni sina uwezo wa kuua, niliongozwa na hasira kutamka yale maneno. naogopa coz nilituma sms na bado wamezihifadhi. ETI HATIMA YANGU NI NINI KATIKA SWALA HILI? MSAADA TAFADHARI