Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 455
Sasa umesahau sasa umetusaidia nini??
nilikuwa ninamfahamisha kuwa e.tv ipo kwenye satellite nyingi. ni zaidi ya mbili. na sio zote zinapatikana hapa bongoland. nimemwambia aseme yeye yupo satellite gani ili tumsaidie kimawazo kuhusu hiyo e.tv yake anayoitaka.