Paddy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2010
- 462
- 304
- Thread starter
- #21
Paddy; inaonekena anakuamini sana kwa jinsi alivyofunguka kwako; kwa kutumia trust hiyo hiyo l am sure. Unaweza msaidia kwani kwa kusoma post zako naona u r also a pro-life believer na pia una busara sana; u don't need us!
So do the needful, mpe council ya kutosha na support if u can! Kuna mtu alishauri umuoe it was a good one if u were not married. Support kubwa ni council yake na mama yake, lkn pia ni kumfanya aweze jitegemea. 22yrs ni mdada mkubwa tu!
Thanks for ur comments. The only problem ni ataishije akiiacha na hana kipato cha kuweza kumhudumia mtoto - maziwa, pampers, etc. Alikiri kuwa kama mwanaume wa kumuoa angekuwepo asingetoa hiyo mimba. As a pro life myself, this is my first challenge ever. Kipato changu kwa sasa bado c kikubwa na nina majukumu pia, bt mi naamini kuwa huwezi kuwasaidia masikini wote watakao kuomba eg omba omba wa barabarani but kinachowezekana ni kusaidia wachache au hata mtu mmoja ambae ataona impact ya msaada wako katika maisha yake. Kifedha, hii challenge haijaja kwangu wakati muafaka, ndo maana naomba ushauri wa wadau wenzangu.