Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

PHP:
Pamoja na maandalizi mengine muhimu niliyoyafanya (vitu basic )bado kuna  kitu kimoja kinanisumbua: Jinsi ambavyo chumba (sebule )  nitakavyo-ipamba ili mpenzi wangu akija kunitembelea anione nipo juu  kiasi -ku-maintain status!
Ninakushauri usiwe mnafiki..................acha mambo yote kama yalivyo ili umjue mwandani wako kweli anakupenda wewe au anapenda hayo makorokoro ambayo unataka kumvutia nayo...........................the problem with women she may like the materialistic things even before mulling over this man whom she is with......................................baadaye ndiyo anagundua kuwa kumbe alitapeliwa halafu nyodos zinaanza.........
 
PHP:
Pamoja na maandalizi mengine muhimu niliyoyafanya (vitu basic )bado kuna  kitu kimoja kinanisumbua: Jinsi ambavyo chumba (sebule )  nitakavyo-ipamba ili mpenzi wangu akija kunitembelea anione nipo juu  kiasi -ku-maintain status!

ninakushauri usiwe mnafiki..................acha mambo yote kama yalivyo ili umjue mwandani wako kweli anakuenda wewe au anapenda hayo makorokoro ambayo unataka kumvutia nayo...........................the problem with women she may like the things even before mulling over this man whom she is with......................................baaddaye ndiyo anagundua kuwa kumbe alitapeliwa halafu nyodos zinaanza.........


Ruta mm jinsi nilivyohisi hapa kama vile mshikaji hana hata huyo binti, anataka atengeneze maeneo so that hata akipata mdada awe impressed, kasema hapa ni mgeni na ana wiki tu-if not mistaken
 
HTML:
Ruta mm jinsi nilivyohisi hapa kama vile mshikaji hana hata huyo binti,  anataka atengeneze maeneo so that hata akipata mdada awe impressed,  kasema hapa ni mgeni na ana wiki tu-if not mistaken
Huyu wadhani ni mtu wa kuanza na anachotaka ni kupasha viporo tu...soma eneo hili jekundu................


HTML:
Pamoja na maandalizi mengine muhimu niliyoyafanya (vitu basic )bado kuna  kitu kimoja kinanisumbua: Jinsi ambavyo chumba (sebule )  nitakavyo-ipamba ili mpenzi wangu akija kunitembelea anione nipo juu  kiasi -ku-maintain status!
Maswali mawili ya kujiuliza ni haya...................

1).....ili mpenzi wangu akija..................huoni ya kuwa tayari anaye ila kikwazo kilikuwa ni hakuwa na pango lake mwenyewe sasa alihamdulilayi kesha jikomboa ni nafasi ya kuanza kutesa...................................??????????????????

2)...........akija kunitembelea............................atatembelewa na mtu mpya au yule yule wa zamani ?......ila amkute yupo swafi...........huoni ananuia malinganisho ya hali yake ya zamani na hali mpya aliyonayo?

Anataka kumkoga mtoto wa watu.....................materialism has never conquered any woman's heart................you can confuse her for sometime but you can not do that all the time............................ndiyo maana mapenzi ya wanaumme au wanawake wenye hela mingi utakua mwanzoni yanachachamaa lakini baadaye majuto huwa ni mjukuu...................it is all about the couple not the things around them................
 
Ku maintain status hakikisha upende kununua vitu quality, usijaze vitu vingi halafu vibovu... Basics za muhimu sebuleni kwa kijana wa kisasa ni Carpet, Sofa seats, TV & Deck, Pazia, Coffee table, Theatre system (si lazima but ni muhimu kwa entertainment) na Meza kwa ajili ya TV.

Hakikisha unaponunua/andaa vitu vi blend; blend in the sense kua unapokua/nunua vitu hivyo vya electronics hakikisha vinaendana rangi Vizuri, then unaangalia rangi ya ukuta wa hio sebule, unanunua pazia quality nzuri na rangi zilizopoa na za kiume kama coffee, beige, grey (kwa ufupi colours dark - usidhubutu sujui pink, yellow n.k). Mara nyingi coffe table nzuri za kisasa ni zile za kioo zenye stool zake, na hizi siku hizi zimeshuka sana bei sana i believe ukijipanga u can afford - miguu ya coffee table rangi ifanane na ya meza ya Tv.

Carpet nunua mwishoni, cause ni a guy mara nyingi nyie nafasi ya usafi ni finyu, nakushari dark colours; inaweza kua ya maua au michoro yenye rangi zote kama za pazia, sofa, meza n.k - ikiwa rangi moja walau iendane na pazia.. Carpet ikiwa dark colour itakusaidia coz ni nyumba ya vyumba viwili inamana lazima utapita sana hapo.

Kuepusha kuweka vitu kama glasses, sahani, jugs sehemu yoyote ya sebule ni vizuri ukachonga kimeza kidogo cha kuweka kona moja (hakikisha mgeni wako akiketi anakipa mgongo au ubavu) - hapo waweza funika na vitamba (zipo plastics but zinaonekana kama kitambaa) special kwa meza na water resistant. Hicho kitambaa cha plastic cha meza kiwe kinaendana walau na pazia. Hio meza waweza tumia kwa ajili ya kuweka all vyombo related things...

Good luk katika maandalizi... La ziada hizi mvua sisikudanganye fan muhimu.....

Asha D,looks like una ka phd ka interior design,au?
 
Whatever the case, its 9c 2c there still few men in this world who think of impressing their women.
 
kutoka kuwa jukwaa la watu makini na great thinkers hadi washauri wa wahamiaji na madalali !!!tunapotea taratibu!!
Mkuu hili ni jukwaa la MMU,ma greti thinka wako kwenye jukwaa la siasa ambalo sisi wengine baada ya kuona hatutoshi tukajikita kwetu huku,sasa Mkuu na huku unataka 'tufikiri sana'?

Hapana ,nakataa,MMU ni full burudani,full relaxation,full kupeana ushauri.Chonde chonde Mheshimiwa wana MMU ulivyotukuta tuache tulivyo!
 
Kwa vile ni vyumba viwili yaani chumba na sitting room, Chumbani weka kitanda kizuri, mbale ya kitanda weka flat screen fresh, kwa vile wewe ni boy weka shelf zinachongeshwa kwa wachomelea vyuma uwe unahang nguo zako na zingie unaikunja sio la kufunga usiweke dressing table weka kioo bafuni na kishelf ambacho utaweka mafuta chanuo perfumes na vingine

Ile room ingine weka sofa moja tu yaani lile la watu watatu au wawili cofee table iwe juu ya kikapet pembeni weka meza ya kawaida ambayo utaweka microwave kwa ajili ya kupashia take away zako na kijiko cha plate moja for mayai saussage just incase.

Mbele ya sofa weka kiflat screen ukutani kabisa then uwe na mito ile mikubwa sana utaitupia chini kama miwili just incase hapo umemaliza mapambo mengine kama frames za picha zikiwepo na mtungi mmoja wa maua, sio mbaya
 
Mkuu hili ni jukwaa la MMU,ma greti thinka wako kwenye jukwaa la siasa ambalo sisi wengine baada ya kuona hatutoshi tukajikita kwetu huku,sasa Mkuu na huku unataka 'tufikiri sana'? Hapana ,nakataa,MMU ni full burudani,full relaxation,full kupeana ushauri.Chonde chonde Mheshimiwa wana MMU ulivyotukuta tuache tulivyo!
<br />
<br />
Umesoma thank you yangu?
 
Mantain usafi ndani ya chumba panga vizuri vitu ndani then kama una uwezo nunu tv na deki music then mapazia,mashuka vyote viendane na rangi ya chumba.. Kuwa na vyombo muhimu kama ndoo n.k. Weka kulingana na kipato chako Only dat.
 
HTML:
Ruta mm jinsi nilivyohisi hapa kama vile mshikaji hana hata huyo binti, anataka atengeneze maeneo so that hata akipata mdada awe impressed, kasema hapa ni mgeni na ana wiki tu-if not mistaken
Huyu wadhani ni mtu wa kuanza na anachotaka ni kupasha viporo tu...soma eneo hili jekundu................


HTML:
Pamoja na maandalizi mengine muhimu niliyoyafanya (vitu basic )bado kuna kitu kimoja kinanisumbua: Jinsi ambavyo chumba (sebule ) nitakavyo-ipamba ili mpenzi wangu akija kunitembelea anione nipo juu kiasi -ku-maintain status!
Maswali mawili ya kujiuliza ni haya...................

1).....ili mpenzi wangu akija..................huoni ya kuwa tayari anaye ila kikwazo kilikuwa ni hakuwa na pango lake mwenyewe sasa alihamdulilayi kesha jikomboa ni nafasi ya kuanza kutesa...................................??????????????????

2)...........akija kunitembelea............................atatembelewa na mtu mpya au yule yule wa zamani ?......ila amkute yupo swafi...........huoni ananuia malinganisho ya hali yake ya zamani na hali mpya aliyonayo?

Anataka kumkoga mtoto wa watu.....................materialism has never conquered any woman's heart................you can confuse her for sometime but you can not do that all the time............................ndiyo maana mapenzi ya wanaumme au wanawake wenye hela mingi utakua mwanzoni yanachachamaa lakini baadaye majuto huwa ni mjukuu...................it is all about the couple not the things around them................

Mkuu maneno yako yamenikumbusha mbali mpaka, machozi yamenitoka... ulichosema hapo ni ukweli mtupu.
 
Ku maintain status hakikisha upende kununua vitu quality, usijaze vitu vingi halafu vibovu... Basics za muhimu sebuleni kwa kijana wa kisasa ni Carpet, Sofa seats, TV & Deck, Pazia, Coffee table, Theatre system (si lazima but ni muhimu kwa entertainment) na Meza kwa ajili ya TV.

Hakikisha unaponunua/andaa vitu vi blend; blend in the sense kua unapokua/nunua vitu hivyo vya electronics hakikisha vinaendana rangi Vizuri, then unaangalia rangi ya ukuta wa hio sebule, unanunua pazia quality nzuri na rangi zilizopoa na za kiume kama coffee, beige, grey (kwa ufupi colours dark - usidhubutu sujui pink, yellow n.k). Mara nyingi coffe table nzuri za kisasa ni zile za kioo zenye stool zake, na hizi siku hizi zimeshuka sana bei sana i believe ukijipanga u can afford - miguu ya coffee table rangi ifanane na ya meza ya Tv.

Carpet nunua mwishoni, cause ni a guy mara nyingi nyie nafasi ya usafi ni finyu, nakushari dark colours; inaweza kua ya maua au michoro yenye rangi zote kama za pazia, sofa, meza n.k - ikiwa rangi moja walau iendane na pazia.. Carpet ikiwa dark colour itakusaidia coz ni nyumba ya vyumba viwili inamana lazima utapita sana hapo.

Kuepusha kuweka vitu kama glasses, sahani, jugs sehemu yoyote ya sebule ni vizuri ukachonga kimeza kidogo cha kuweka kona moja (hakikisha mgeni wako akiketi anakipa mgongo au ubavu) - hapo waweza funika na vitamba (zipo plastics but zinaonekana kama kitambaa) special kwa meza na water resistant. Hicho kitambaa cha plastic cha meza kiwe kinaendana walau na pazia. Hio meza waweza tumia kwa ajili ya kuweka all vyombo related things...

Good luk katika maandalizi... La ziada hizi mvua sisikudanganye fan muhimu.....

Asha D,

Ushauri mzuri sana. Ila tatizo akija huyo girlfriend na akipazoea kiaina naye atataka aweke vikorombezo vyake kundena na akshi zake. Kitu kingine anatarajia kukaa muda gani kwenye hiyo nyumba? Usikute anakaa hapo kwa miezi sita tuu halafu anunue vitu vinavyoendana na rangi ya nyumba halafu akihamia kwenye nyumba nyingine akute rangi tofauti.

Nafikiri kabla ya kununua vitu vinavyoendana na rangi ya ukuta aongee kwanza na mwenye nyumba kama anaweza kubadilisha rangi za kuta kuendana na rangi anayoipenda, then ndio anunue vitu vyenye rangi anayoipenda (kumbuka wapo wanaume wanaopenda pink pia). Always kama unatafuta nyumba ya kupanga kumbuka kumwuliza mpangaji mapema kama anaruhusu kubadilisha rangi za kuta. Otherwise, utaishia kununua vitu vipya kila unapohama nyumba ili tuu viendane na rangi ya nyumba. Kuna watu bado wana theatre system walizokuwa wanazitumia enzi za vyuo na bado zinafiti safi kwenye nyumba zao za sasa.

Pia at the end of the day suala sio ku-maintain status but kuishi kulingana na uwezo wako na kwenye nyumba yenye mandhari yanayokuvutia wewe na sio mtu anayekuja hapo mara moja kwa wiki. Kwa mfano mimi napendelea meza na viti vya mbao zaidi kuliko vya kioo. Sitatununua meza na viti vya kioo ili ku-maintain status girlfriend akija. Kama mataishi pale wote then, of course mta-compromise. Otherwise, utakuwa unashinda bar unarudi home usiku b'se hapakuvutii. Weka kitu roho inapenda kulingana na uwezo wako. Kama alivyosema Asha D, make it simple. Don't complicate things
 
Mkuu hili ni jukwaa la MMU,ma greti thinka wako kwenye jukwaa la siasa ambalo sisi wengine baada ya kuona hatutoshi tukajikita kwetu huku,sasa Mkuu na huku unataka 'tufikiri sana'? Hapana ,nakataa,MMU ni full burudani,full relaxation,full kupeana ushauri.Chonde chonde Mheshimiwa wana MMU ulivyotukuta tuache tulivyo!

There is more in life than politics. in deed, the greatest thinkers on earth are not politicians.
 
There is more in life than politics. in deed, the greatest thinkers on earth are not politicians.

EMT ushawahi kusoma kitabu 'animal farm'? tatizo humu jf kuna watu wamejiamulia kwamba 'all jf members are equal,but some jf members are more equal than others',wapishe hao usituniashane nao vifua!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
HTML:
Asha D,looks like una ka phd ka interior design,au?

I also share this view........................it could be a hidden talent which she is not even aware of....kaangalia kwenye profile yake ametundika albums nyingi za interior design..........................I though those grottos are marvelous................
 
Asha D,

Ushauri mzuri sana. Ila tatizo akija huyo girlfriend na akipazoea kiaina naye atataka aweke vikorombezo vyake kundena na akshi zake. Kitu kingine anatarajia kukaa muda gani kwenye hiyo nyumba? Usikute anakaa hapo kwa miezi sita tuu halafu anunue vitu vinavyoendana na rangi ya nyumba halafu akihamia kwenye nyumba nyingine akute rangi tofauti.

Nafikiri kabla ya kununua vitu vinavyoendana na rangi ya ukuta aongee kwanza na mwenye nyumba kama anaweza kubadilisha rangi za kuta kuendana na rangi anayoipenda, then ndio anunue vitu vyenye rangi anayoipenda (kumbuka wapo wanaume wanaopenda pink pia). Always kama unatafuta nyumba ya kupanga kumbuka kumwuliza mpangaji mapema kama anaruhusu kubadilisha rangi za kuta. Otherwise, utaishia kununua vitu vipya kila unapohama nyumba ili tuu viendane na rangi ya nyumba. Kuna watu bado wana theatre system walizokuwa wanazitumia enzi za vyuo na bado zinafiti safi kwenye nyumba zao za sasa.

Pia at the end of the day suala sio ku-maintain status but kuishi kulingana na uwezo wako na kwenye nyumba yenye mandhari yanayokuvutia wewe na sio mtu anayekuja hapo mara moja kwa wiki. Kwa mfano mimi napendelea meza na viti vya mbao zaidi kuliko vya kioo. Sitatununua meza na viti vya kioo ili ku-maintain status girlfriend akija. Kama mataishi pale wote then, of course mta-compromise. Otherwise, utakuwa unashinda bar unarudi home usiku b'se hapakuvutii. Weka kitu roho inapenda kulingana na uwezo wako. Kama alivyosema Asha D, make it simple. Don't complicate things


EMT thanks nimeipenda, nakubali yoote ulosema - ila napenda ujue ushauri wangu uliangukia ktk basics za ku maintain status (ilitakiwa asiseme hivi kama anataka pawe ordinary). Ila katika post yako naomba niseme kua tafadhali EMT basi nunua hat white lakini si pink pleeeeease cause a guy anaekua na vitu vingi vya pinki na hana mdada humo ndani, anakua associated kua ni feminine alaf ipelekee mtu kwanza kukuchunguza kwa undani akupachike jina sio.

Coffe table za mbao nazo ni nzuri bila shaka..... ila ukiiweka hapo hata iwe nzuri vipi haitafikia unakshi wa coffee table ya kioo. Alafu pia vitu vya dukani vimeshuka saaana bei, hio meza ya mbao na kioo havipishani bei sana, observe.....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Utapoteza nguvu nyingi kuandaa chumba na kumfurahisha huyo demu wako then kesho na kesho kutwa ukiachishwa kazi unauza hivyo vitu kwa bei ya hasara na kurudi kijijini na wakati huo huyo mchumba wako anahamia kwa watu wengine wenye hela.

Ushauri wangu fanya yafuatayo
1. kwa kua ndo umeanza kazi jitahidi sana kubana matumizi yako kwa kutoendekeza kununua vitu vya anasa sana
2. Jitahidi kua na investment ili zikuongezee kipato cha ziada
3. kua na akiba benki
4. Tafuta kiwanja ujenge nyumba yako ili hapo baadae uje upambe kwenye nyumba yako
Ni hayo tu sitaki nikuchoshe zaidi
 
Nyie vijana wa siku hizi mna mambo kwelikweli. Utapamba nyumba weeeeeeee lakini mkifika kwenye 6x6 mnaanza kujitetea ooohhh ofisini ubusy ooohh najiskia malaria, ooh nimepata habari mbaya, ohh sijui nini vile!

Hayo unayotaka kufanya huenda rafiki yako yamemchosha machoni kwake. Kikubwa anachotaka kwako ni uanamume wako au usichana wako, full stop. Mkitoka hapo ndipo mambo mengine yatafuata tena uzuri wake ni kwamba mkifanikisha yote hayo, hata ukipamba chumba chako hovyo, kitaonekana kizuri tu.

Maneno mazito haya....
lakin unajua umri wa mwomba ushauri??,
manake manane haya yanafaa kwa umri unaoendana na uzito wa maneno haya.....
Mwanaume anaweza kukazania kupanga na kupamba sebule na chumba,
anasahau kuwa hata kule atokako mwanamke kuna vitu hivi ,ISIPOKUWA KIMOJA TU NDICHO NDICHO KINACHOMFANYA AMTEMBELEE mpenzi wake,,hata akikuta sebule nyeupe lakin 6 kwa 6 ni full mwendo speed 180 basi aah nafsi yake full furaha na raha hata chini atalala na kukaa......lol
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom