Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Ndugu wanajamvi;
Naomba kufahamu application kwa vyuo vyenye kozi za medical ofiicers hufanyika wakati gani?
Na je, hufanyika wizara ya Afya au kwenye chuo husika?
Vyuo kama KCMC, BUGANDO na MUHIMBILI wanatoa kozi hizo?
Na entry qualification kwa aliyemaliza na form six zikoje?
Na ada zake huwa ni kiasi gani.
Shukrani!
Naomba kufahamu application kwa vyuo vyenye kozi za medical ofiicers hufanyika wakati gani?
Na je, hufanyika wizara ya Afya au kwenye chuo husika?
Vyuo kama KCMC, BUGANDO na MUHIMBILI wanatoa kozi hizo?
Na entry qualification kwa aliyemaliza na form six zikoje?
Na ada zake huwa ni kiasi gani.
Shukrani!