Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
ni vizuri mtu akuambie mwenyewe kuliko uje usikie kwa watu baki,
haya sasa Joy list ndo hiyo nimekutajia ni kubwa kuliko sasa je utaniacha au?
ni vizuri mtu akuambie mwenyewe kuliko uje usikie kwa watu baki,
ni vizuri mtu akuambie mwenyewe kuliko uje usikie kwa watu baki,
kwani Joy wewe unataka kujua katembea /list na nani na nai ili iweje? cha muhimu ni kupima afya zenu mambo yasonge! kwasasa yupo na wewe hayo ya past muachie mwenyewe.
Hakika hii kitu inashangaza sana. Ngoja niwaambie ukweli wangu mimi, mi nilikutana na mpenzi (mtoto wa Kinyakyusa) haki nakuambia within 4 months baada ya kujuana nilienda kwetu ukerewe kuwaambia wazazi nimepata mchumba na tukaoana after 6 months. Hata sisi mpaka leo tunashangaanaga maana hatukuchunguzana kwa muda mrefu.
Therefore the longer you stay the higher the risk of loosing.
si ndo hapo nyamayao mi nimemwambia yeye anasema bora ajue list ya walio mtangulia akijua si atakuwa anaumia ndo maana waswahili wanasema ukimchunguza kuku huwezi kula nyama yake.