bigcell
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 219
- 60
wana jf natafuta msaada wa kisheria jinsi ya kuishtaki mtandao wa tigo,wamezidi kuniibia(over charge) ni mwaka wa 3.5 sasa sina hamu nao kabisa.Nataka wanilipe fidia inatisha sana yaani wana wizi wa wazi wazi.
Kwanza hawapokei simu ukiwapigia customer care, nina mwaka na miezi miwili sijawahi kusikia sauti ya mhudumu wa wateja.
Pili tarehe 16/02/12 niliweka vocha ya Tsh. 5000/- muda wa saa moja na unusu nilipiga simu kwenda tigo kwenye no 0712.... niliongea kwa dk 28.12. Nikajaribu kupiga hesabu 1 sec = Tsh. 2+vat 40cents =Tsh 2.40 so; (2.40*60=Tsh. 144*28.12=4049 ndio niliyotumia).Hivyo basi tsh 5000-4049=950.72, na hapo wakti naongeza kulikuwa na bakaa ya 224 hivyo hesabu ingekuwa 5224-4049= 1175. Kwa hiyo basi 1175 waliichukua. ikanibidi niende tigo customer care center kwa hapa dsm pale mlimani city, nikawakuta wahudumu nikapewa no: ya foleni zamu yangu ikafika nikaenda kwa muhudumu. Kilichofuata nikatoa maelezo yangu na hesabu zangu wakajifanya hawajui hizo hesabu wakanipa zao jibu likaja wamenichukulia 1760, wakarudia tena hesabu ikaja 1475, sikuwaelewa tukabishana sana mwisho wa saa wakaniuliza matumizi ya kwa siku nikawaambia kwa wizi wao natumia hadi Tsh: 8,000- 10,000/- kwa siku. Kwa ufupi huo ni mfano mmoja nina mlolongo mrefu wa matatizo kama hilo hapo juu, ambalo nikiliandika hapa ntawachosha. Kama akitokea mwanasheria wa kunishauri nini cha kufanya nitampa details zote tokea mwaka 2010 tatizo lilipoanzia.
Nawakilisha.
Kwanza hawapokei simu ukiwapigia customer care, nina mwaka na miezi miwili sijawahi kusikia sauti ya mhudumu wa wateja.
Pili tarehe 16/02/12 niliweka vocha ya Tsh. 5000/- muda wa saa moja na unusu nilipiga simu kwenda tigo kwenye no 0712.... niliongea kwa dk 28.12. Nikajaribu kupiga hesabu 1 sec = Tsh. 2+vat 40cents =Tsh 2.40 so; (2.40*60=Tsh. 144*28.12=4049 ndio niliyotumia).Hivyo basi tsh 5000-4049=950.72, na hapo wakti naongeza kulikuwa na bakaa ya 224 hivyo hesabu ingekuwa 5224-4049= 1175. Kwa hiyo basi 1175 waliichukua. ikanibidi niende tigo customer care center kwa hapa dsm pale mlimani city, nikawakuta wahudumu nikapewa no: ya foleni zamu yangu ikafika nikaenda kwa muhudumu. Kilichofuata nikatoa maelezo yangu na hesabu zangu wakajifanya hawajui hizo hesabu wakanipa zao jibu likaja wamenichukulia 1760, wakarudia tena hesabu ikaja 1475, sikuwaelewa tukabishana sana mwisho wa saa wakaniuliza matumizi ya kwa siku nikawaambia kwa wizi wao natumia hadi Tsh: 8,000- 10,000/- kwa siku. Kwa ufupi huo ni mfano mmoja nina mlolongo mrefu wa matatizo kama hilo hapo juu, ambalo nikiliandika hapa ntawachosha. Kama akitokea mwanasheria wa kunishauri nini cha kufanya nitampa details zote tokea mwaka 2010 tatizo lilipoanzia.
Nawakilisha.