Skillseeker
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 225
- 34
habari za kwenu,
Naomba msaada, nimeingia kwenye gallery yangu nikaenda kwenye folder la kuwekea picha na video nakuta liko empy kabisaa.. hii ni mara ya pili inanitokea..mara ya kwanza ilivyotokea memory card yangu ilikuwa almost full so nikapunguza vitu. leo imetokea tena na nina 1.2GB free in my memory card.sasa sijui tatizo ni nini hapa?...naombeni msaada wenu jamani...
Naomba msaada, nimeingia kwenye gallery yangu nikaenda kwenye folder la kuwekea picha na video nakuta liko empy kabisaa.. hii ni mara ya pili inanitokea..mara ya kwanza ilivyotokea memory card yangu ilikuwa almost full so nikapunguza vitu. leo imetokea tena na nina 1.2GB free in my memory card.sasa sijui tatizo ni nini hapa?...naombeni msaada wenu jamani...