ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
Jamani kama kuna mtu aliye fanikisha zoezi la ku-upgrade from 1.5.x to 1.5.6 naomba anisaidie maana nimekwama nilivyo soma documents zao hao joomla ni process moja ambayo ngumu alafu inajichanganya yaani inakuwa ngumu kutoboa naomba msaada kama kuna mjanja aliye toboa hiyo issue aniambie alitumia ujanja gani mimi imeniwia ngumu ndio maana nikaona niilete hapa mezani tusaidiane maana nimekaliwa kooni hapa na huyu BO$$ anasema mpaka kieleweke.