Mkuu, hii mitandao inatuibia sana tena sana!! Na sisi inabidi tuiibie.do! kwanini mnapenda bure? mimi naamini bure inaongeza umaskini kwa kuwa kila siku unaweza usifikirie utapataje pesa kihalali na unaangalia gaps za bure. kama hiyo haitoshi sina uhakika kama mtu huyu anayependa bure sana anaweza kumlipa mfanya kazi wake vizuri kwa kipato anacho mwingizia
Tupia IMEI ya Modem yako hapa nikupe Unlock Code sasa hivi
do! kwanini mnapenda bure? mimi naamini bure inaongeza umaskini kwa kuwa kila siku unaweza usifikirie utapataje pesa kihalali na unaangalia gaps za bure. kama hiyo haitoshi sina uhakika kama mtu huyu anayependa bure sana anaweza kumlipa mfanya kazi wake vizuri kwa kipato anacho mwingizia
Namimi pia nimekuPM kaka!
Nishakutumia Unlock Code
Wakuu habarini za weekend,
Nimenunua modem ya Vodacom e173 nataka kuichakachua kwa matumizi ya mitandao mingine
Nimejaribu kusearch humu JF sijakutana na hii kitu
So please mwenye maujanja atusaidie hapa
Mkuu unajua unachokiongea lakini? Au ndio ile kule umachi noo
Nani anaongelea bure hapa, nimekwenda voda shop nikatoa pesa yangu kununua modem, na sasa nataka kuitoa lock niwe flexible kutumia mtandao wowote wewe unaita bure
Kuchakachua modem hakuna maana uitumie bure mkuu, kunamaana ya kufanya modem yake kutumia sim card tofauti tu na ukiwa umenunua bundle halali
Kama bado hujapata ufumbuzi weka imei yako hapa tukupe unlock code au kama wataka yale mambo ya" Raha jipe mwenyewe" sema tukupe link
imei 862910017738011 hii ni huawei e173 ya airtel
imei 862910017738011 hii ni huawei e173 ya airtel
Hacha utani wewe si umeambiwa humu JF kuwa hizo hazichakachuki kama E173 ya voda sawa si hizo customized za Airtel
Kwa Airtel Modem E173 tumia firmware hii UTPS16.001.05.00.45_MAC15.001.08.01.45_LNX15.001.08.01.45.zip - 4shared.com - online file sharing and storage - download
Thanx a lot guyz
, kwa msaada wa wadau wamenipatia software nikamaliza mchezo.
Problem solved, kitu mwake mwake nakamua line zote sasa