samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Naomba msaada wa kitaalam sim yangu ni N95 haionyeshi kituchocho zaidi ya mwanga tu! Nisaidieni jamani tatizo nn?
Au niuzie
Kiama ni yakuslide ni mkanda,,na hata kama si yakuslide nayo ni mkanda umekatika,unatakiwa ubadilishwe,unapatikana kkoo,,around twenty plus matengenezo,.sina uhakika sana
minya hizi butvon kwa wakati moja anza kwa kuminya button ya no.3(usiiachie) then minya button ya *(usiachie) then tena minya button ya kuwasha/power button/na hii usiachie) ikianza subr iwake mpaka ile mikono ikionekana ndo uachie halaf chagua lugha hakikisia ina charge ya kutosha kama hii njia haiwezekan shikilia power button wakati unaingiza na kttoa battery yan unaistua stua ikiwaka tu toa betri fanya mara 7