Umeshabofya
Umeshabofya
Mara ya mwisho umefanya mapenzi lini? Kachukue Cefxime 400mg (milligram) na Azythromycin unywe gram moja 1g ( gram), nadhani kidonge kimoja ni 500mg kwa hiyo utakunywa viwili. Ikiwa bado nenda hospitali thomas_360Habarini wandugu,, mm ni kijana wa kiume, tangu jana naona njia ya mkojo inaniuma na kuna wakati inatoa maji maji ya usaha nashindwa kujua nini tatizo,, maana napata maumivu wakati wa kukojoa..natumaini nitakuwa nimeeleweka na ninahitaji msaada wenu
Wacha kuropokakila siku mnapigiwa kelele humu ndani kuhusu athari za punyeto hamsikii sasa suburi utakua mfano wa kuigwa!
kimbia hospital.
Yesu kristo umpeleke NA aliyekuambukizaNashukuruni wandugu..nimepima na nina kisonono, nimeshapiga dose hapa nasubiria ianze kufanya kazi
LipoGonorrhea bado lipo karne hii?
Huo lazima utakuwa ugonjwa wa zinaa most probably Gonorhea. Ila muone daktari kwa uchunguzi naHabarini wandugu,, mm ni kijana wa kiume, tangu jana naona njia ya mkojo inaniuma na kuna wakati inatoa maji maji ya usaha nashindwa kujua nini tatizo,, maana napata maumivu wakati wa kukojoa..natumaini nitakuwa nimeeleweka na ninahitaji msaada wenu
Mara ya mwisho ilikuwa jumamosi na jana ndo niliongea na doctor akanipa maelekezo nitumie azythromycin 1500mg na flagyl 2000gmMara ya mwisho umefanya mapenzi lini? Kachukue Cefxime 400mg (milligram) na Azythromycin unywe gram moja 1g ( gram), nadhani kidonge kimoja ni 500mg kwa hiyo utakunywa viwili. Ikiwa bado nenda hospitali thomas_360