thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Habarini wandugu,, mim ni kijana wa kiume, tangu jana naona njia ya mkojo inaniuma na kuna wakati inatoa maji maji ya usaha nashindwa kujua nini tatizo, maana napata maumivu wakati wa kukojoa natumaini nitakuwa nimeeleweka na ninahitaji msaada wenu