ndugu yangu, TBA ni kama consultants, kuna architects, engineers, quantity suveyors and any consultants ambao huwa wanasimamia na kudesign majengo mainly ya serikali, NHC inajenga na inamiliki majengo, na kutokana na ujenzi wa nhc mara kwa mara pia wana consultants wao ndani ya shirika kusaidia ufanisi katika shuguli zao.. Ni kweli unavosema kwamba some chores za TBA zingeweza kufanywa na consultants walioko ndani ya NHC, lakini i think their number is still soo little, so maybe wangekua more empowered, and wangeongezwa idadi kidogo, then mambo yangekua barabara, coz there could be no need of TBA
Ulipozitaja kwa kirefu tayari ulishatoa tofauti kuwa moja ni agency,mwingne ni mmiliki majengo. TBA hujenga na kumkabidhi Nhc ayaendeshe majengo ya umma. Gudtym.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.